Ramani za Udongo
.Mimea huhitaji virutubisho 16 muhimu. Tatu kati ya hivyo — kaboni, hidrojeni, na oksijeni — hutolewa kutoka kwenye angahewa na maji ya udongo. Virutubisho vingine 13 ambavyo ni muhimu ni:
Nitrojeni, fosforasi, potasiamu, kalsiamu, magnesiamu, salfa, chuma, zinki, manga, shaba, boroni, molibdenamu, na klorini. Virutubisho hivi hutolewa kutoka kwenye madini ya udongo, mabaki ya viumbe hai kwenye udongo, au kwa kutumia mbolea za asili au za viwandani.
Maeneo ya Kijiografia ya Kilimo (Agro-Ecological Zones)
Taarifa Muhimu Kuhusu Afya ya Udongo Tanzania
Taarifa ya pH ya Udongo kwa Kanda:
| Kilimanjaro | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Shinyanga | Simiyu | Mwanza |
| Arusha | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Njombe | Rukwa | Katavi |
Taarifa ya Kaboni Hai (Organic Carbon) kwa Kanda:
| Arusha | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kilimanjaro | Manyara | Singida |
| Mara | Mbeya | Morogoro | Mwanza | Njombe | Rukwa | Shinyanga | Simiyu | Songwe |
Ufaa wa Mazao (Crop Suitability Information)
Kanda ya Kati
DODOMA
| Dodoma, Chamwino, Bahi | Kongwa | Mpwapwa |
SINGIDA
| Iramba | Kondoa | Manyoni | Singida |
Kanda ya Mashariki
PWANI
| Bagamoyo | Kibaha | Kisarawe | Mafia | Rufiji |
MOROGORO
| Kilombero | Kilosa | Mvomero | Ulanga |
TANGA
| Handeni, Kilindi | Korogwe | Lushoto | Muheza, Mkinga | Pangani | Tanga City |
ZANZIBAR
| Chakechake | Kaskazini A | Kaskazini B | Kati Kusini | Mkoa Kusini | Magharibi | Micheweni | Mkoani | Wete |
Kanda ya Kaskazini
ARUSHA
| Arumeru | Arusha DC | Karatu | Monduli | Ngorongoro |
MANYARA
| Babati | Hanang' | Kiteto | Mbulu | Simanjiro |
KILIMANJARO
| Hai | Moshi DC | Mwanga | Rombo | Same |
Kanda ya Kusini
LINDI
| Kilwa | Lindi | Liwale | Nachingwea | Ruangwa |
MTWARA
| Masasi | Mtwara | Newala | Tandahimba |
Western Zone
KIGOMA
| Kasulu | Kibondo | Kigoma |
TABORA
| Igunga | Nzega | Sikonge | Tabora | Urambo |