Research Labs
TARI Referral Laboratory – Dodoma (Maabara Kuu ya Taifa)
Lengo kuu: Kutoa huduma za kitaalamu na sahihi kwa tafiti za kilimo, ufuatiliaji wa magonjwa, ubora wa mbegu, na uthibitishaji wa mazao.
Sehemu Muhimu:
-
Maabara ya Utambuzi wa Magonjwa:
-
Utambuzi wa magonjwa ya mimea kwa kutumia mbinu za kisasa (PCR, ELISA).
-
Kituo kikuu cha marejeo kwa afya ya mimea nchini.
-
-
Chumba cha Uchimbaji wa Vina saba.
-
Uchimbaji wa DNA na RNA kutoka kwa mimea, mbegu, na vimelea.
-
-
Chumba cha Utambuzi (Detection Room):
-
PCR na RT-PCR kwa ajili ya kugundua vimelea na upimaji wa vifaa vya kupandikiza.
-
-
Maabara ya Upimaji Mbegu:
-
Viability, usafi, na uwezo wa kuota wa mbegu.
-
Upimaji wa magonjwa yanayobebwa na mbegu.
-
-
Kitengo cha Usajili wa Mbegu:
-
Usajili, uchambuzi na ufuatiliaji wa sampuli za mbegu kwa mujibu wa viwango vya ISTA.
-
-
Sehemu ya Usafi na Uotaji Mbegu:
-
Upimaji wa viwango vya usafi wa mbegu na uwezo wake wa kuota.
-
8. Vyumba vya Uotaji Mbegu (Germination Chambers 1 & 2):
-
-
-
Mazingira yaliyoidhinishwa kwa ajili ya uotaji mbegu wa mazao mbalimbali.
-
TARI Mikocheni – Maabara ya Bioteknolojia
Kituo kikuu cha Taifa cha Utafiti wa Bioteknolojia ya Kilimo.
Maeneo Muhimu:
-
Utambuzi wa vimelea kwa njia za molekuli.
-
Usimamizi wa wadudu na vimelea kupitia vinasaba.
-
Characterization ya germplasm ya mazao: kahawa, muhogo, viazi vitamu, korosho n.k.
-
Tissue culture ya kupanda mimea safi na isiyo na magonjwa.
-
Uendelezaji wa bidhaa za kibayoteknolojia kama bio-pesticides na bio-fertilizers.
TARI Kibaha – Maabara ya Nematolojia na Molekuli
Kituo cha uchunguzi wa minyoo waharibifu na biocontrol.
Vitengo:
-
Maabara ya Nematolojia:
-
Utambuzi wa minyoo kwa kutumia DNA.
-
Uchunguzi wa mwingiliano wa minyoo na mimea.
-
-
Biocontrol kwa Wadudu (EPNs):
-
Uzalishaji wa EPNs kwa kudhibiti wadudu kama white grubs.
-
-
Maabara ya Entomolojia:
-
Utafiti na utambuzi wa wadudu waharibifu na manufaa.
-
-
Maabara ya Patholojia ya Mimea:
-
Utambuzi wa magonjwa ya miwa na mazao mengine kwa kutumia PCR.
-
-
Tissue Culture ya Miwa na Muhogo:
-
Uzalishaji wa vipando visivyo na magonjwa.
-
TARI Mlingano – Maabara ya Udongo na Tissue Culture ya Katani
Kituo kikuu cha Afrika Mashariki kwa sayansi ya udongo na katani.
1. Maabara ya Udongo:
-
Upimaji wa pH, EC, NPK, CEC, na micronutrients.
-
Uchoraji wa ramani za rutuba na matumizi ya ardhi kwa kutumia GIS.
-
Uchambuzi wa maji na mbolea.
2. Tissue Culture ya Katani:
-
Uzalishaji wa vipando safi vya katani.
-
Utafiti wa uhifadhi wa vinasaba na uboreshaji wa aina bora.
TARI Uyole – Maabara ya Tissue Culture na Udongo
1. Tissue Culture Laboratory:
-
Uzalishaji wa viazi, ndizi, na pyrethrum kwa njia ya in vitro.
-
Uchunguzi wa magonjwa ya mimea kwa PCR/ELISA.
-
Uhifadhi wa germplasm.
2. Maabara ya Udongo:
-
Upimaji wa rutuba ya udongo (pH, NPK, micronutrients).
-
Uchoraji wa ramani za rutuba.
-
Mapendekezo ya matumizi ya mbolea.
-
Uchambuzi wa tishu za mimea na maji.
Faida kwa Taifa:
-
Kusaidia udhibiti wa magonjwa ya mimea.
-
Kuhakikisha ubora wa mbegu zinazozalishwa nchini.
-
Kuwezesha matumizi bora ya teknolojia ya kilimo (ICT, Bioteknolojia).
-
Kusaidia wakulima, watafiti, na taasisi katika kufanya maamuzi sahihi kulingana na data.