MKURUGENZI MKUU WA TARI, DKT. THOMAS BWANA AKISIKILIZA MAELEZO KUTOKA KWA WATAFITI KUHUSU UONGEZAJI THAMANI WA ZAO LA MUHOGO KWENYE MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA MAARUFU KAMA SABASABA.
KAMISHNA WA HUDUMA ZA UREKEBU WA JESHI LA MAGEREZA,AMINA KAVIRONDO AKIPATIWA MAELEZO YA UONGEZAJI THAMANI WA ZAO LA KOROSHO NA WATAFITI KUTOKA TARI KWENYE MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA MAARUFU KAMA SABASABA ALIPO TEMBELEA BANDA LA TARI.
Mtafiti kutoka TARI,Dkt Atugonza Bilaro akiwapatia Elimu ya Kilimo Shadidi cha Mpunga Wakulima wa Skimu ya Mariwanda,Wilaya ya Bunda,Mkoa wa Mara.
Waziri wa Kilimo Mhe. Daniel Chongolo akizindua rasmi maadhimisho ya miaka 10 ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI)
Waziri wa kilimo Mhe.Daniel Chongolo (Mb) akikabidhi pikipiki 71 kwa Mkurugenzi Mkuu wa TARI Dkt.Thomas Bwana
Waziri wa Kilimo Mhe.Daniel Chongolo (Mb) akizindua Jezi maalum ya TARI itakayo tumika katika TARI MARATHON.
Mkurugenzi Mkuu wa TARI Dkt.Thomas Bwana akimkaribisha Rais wa chuo kikuu cha Shandong cha nchini china Prof. Leng Changjian.
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imepokea ujumbe kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Shandong cha nchini china katika ziara maalum iliyofanyika tarehe 14 Aprili 2026, jijini Dodoma, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta ya kilimo.
Mhe.Daniel Chongolo akipokea maelezo ya Teknolojia ya Kitalu Nyumba kutoka kwa Mkurugenzi wa Kituo cha TARI Naliendele Dkt. Geradina Mzena.
Mkurugenzi Mkuu wa TARI, akiwa kwenye Picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo.